Psalms 54:1

Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui

(Kwa Mwimbishaji: Na Ala Za Nyuzi Za Uimbaji. Utenzi Wa Daudi. Wakati Mtu Mmoja Wa Zifu Alipomwendea Sauli Na Kumjulisha Kuwa Daudi Amejificha Kwao)


1 aEe Mungu uniokoe kwa jina lako,
unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
Copyright information for SwhKC